Ratiba ya Mechi za Simba Ligi Kuu Ya NBC 2025/2026 Tanzania

Ratiba ya mechi za Simba Sc Ligi Kuu Ya NBC 2025/2026 Tanzania Bara, Kwenye makala hii tutaangalia kwa kina mechi za simba zilizobaki ligi kuu Tanzania Msimu mpya wa Ligi Kuu ya NBC 2025/26.

Simba Sports Club ni moja ya vilabu vikubwa zaidi vya soka nchini Tanzania. Klabu hii ilianzishwa mwaka 1936 kama Queen, kisha ikabadilishwa jina kuwa Sunderland na hatimaye mwaka 1971 ikapewa jina la Simba. Simba inashiriki Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara na michuano ya kimataifa kama Ligi ya Mabingwa Afrika.

Katika msimu huu mpya wa 2025/2026, Simba inajiandaa kupambana katika mechi nyingi za ligi kuu, zikiwa na malengo makubwa ya kutwaa ubingwa wa ligi.

Ratiba Ya Simba 2025/2026 Mechi Zilizobaki NBC Ligi kuu

Mechi za Simba kwa Msimu Mzima wa 2025/2026 Pamoja na Matokeo

Date Match Results
19:0025/09/2025 Simba
Fountain Gate
3
0
20:1501/10/2025 Simba
Namungo
3
0
16:0030/10/2025 Tabora United
Simba

16:0002/11/2025 Simba
Azam

16:0005/11/2025 JKT Tanzania
Simba

19:0003/12/2025 Dodoma Jiji
Simba

16:0010/12/2025 Tanzania Prisons
Simba

17:0013/12/2025 Young Africans
Simba

21:0030/01/2026 Simba
Mtibwa Sugar

16:0003/02/2026 Singida Black Stars
Simba

16:1507/02/2026 KMC
Simba

16:0011/02/2026 Simba
Tabora United

16:1519/02/2026 Simba
Mashujaa

16:0022/02/2026 Simba
Coastal Union

16:0025/02/2026 Pamba Jiji
Simba

16:0028/02/2026 Simba
Mbeya City

16:1505/03/2026 Fountain Gate
Simba

16:1512/03/2026 Namungo
Simba

16:1515/03/2026 Azam
Simba

14:0018/03/2026 Simba
JKT Tanzania

14:0004/04/2026 Simba
Young Africans

14:0005/04/2026 Simba
Tanzania Prisons

16:0012/04/2026 Mashujaa
Simba

16:0015/04/2026 Coastal Union
Simba

16:0019/04/2026 Simba
Dodoma Jiji

19:0003/05/2026 Simba
Pamba Jiji

19:0006/05/2026 Mbeya City
Simba

16:0014/05/2026 Mtibwa Sugar
Simba

16:0020/05/2026 Simba
Singida Black Stars

16:0023/05/2026 Simba
KMC

Taarifa Muhimu za Simba SC:

  • Ilianzishwa: 1936
  • Makao makuu: Dar es Salaam
  • Ligi: Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Ligi ya Mabingwa Afrika
  • Kocha Mkuu: Fadlu Davids
  • Uwanja wa KMC Complex:

Ratiba ya Mechi Zilizobaki za Simba SC Ligi Kuu NBC 2025/2026

Katika makala hii, tutapitia kwa undani ratiba ya mechi zilizobaki za Simba SC katika Ligi Kuu ya NBC msimu huu wa 2025/2026. Ratiba hii inaonyesha tarehe, muda, na timu pinzani ambazo Simba SC itakutana nazo.

Ratiba hii inaonyesha kwamba Simba SC inakabiliwa na mechi ngumu na za kuvutia katika Ligi Kuu ya NBC msimu huu wa 2025/2026. Ili kufanikisha lengo lao la kutwaa taji la ligi, ni lazima waonyeshe kiwango cha juu katika mechi zote, hasa zile za ugenini. Mashabiki wa Simba wana matumaini makubwa kwamba timu yao itafanya vizuri na kurejesha furaha ya ubingwa.

Katika msimu huu, Simba SC itategemea wachezaji wake nyota, pamoja na mbinu bora za kocha wao, ili kuhakikisha inapata mafanikio makubwa. Ni msimu ambao unatarajiwa kuwa wa ushindani mkubwa na wa kuvutia kwa wapenda soka nchini Tanzania.

Makala Nyingine:

  1. Mechi ya Simba na Yanga Ni Lini 
  2. Tetesi za usajili Dirisha dogo Tanzania bara (Simba Na Yanga)
  3. Mishahara Ya Wachezaji Wa Simba Makadirio
  4. Majina ya Wachezaji wapya wa Simba  Waliosajiliwa Msimu Huu
  5. Kikosi Cha Simba Majina Ya Wachezaji Wote
  6. Timu zilizofuzu Makundi Kombe La Shirikisho Africa CAF
  7. Msimamo Ligi Kuu NBC  Tanzania Bara
  8. Ratiba ya ligi kuu NBC Tanzania  Bara