Mishahara Ya Wachezaji Wa Simba 2024/2025 Makadirio

Mishahara Ya Wachezaji Wa Simba 2024/2025 Makadirio, kwenye makala hii tutachambua uwezekano wa kiasi cha pesa wanacholipwa wachezaji wa simba kulingana na uwezo wa kila mtu uwanjani.

Makadirio Ya Mishahara Ya Wachezaji Wa Simba SC 2024/2025

Hapa chini kuna makadirio ya mishahara ya wachezaji muhimu wa Simba SC kwa msimu wa 2024/2025:

  1. Sadio Kanouté (Mali) – 16 Milioni
  2. John Raphael Bocco (Tanzania) – 15 Milioni
  3. Moses Phiri (Zambia) – 15 Milioni
  4. Aishi Salum Manula (Tanzania) – 14 Milioni
  5. Henoc Inonga Baka (DR Congo) – 11 Milioni
  6. Mohamed Hussein (Tanzania) – 10 Milioni
  7. Shomari Kapombe (Tanzania) – 10 Milioni
  8. Fondoh Che Malone (Cameroon) – 9 Milioni
  9. Aubian Kramo (Côte d’Ivoire) – 9 Milioni
  10. Luis Miqussion (Tanzania) – 8.1 Milioni
  11. Mzamiru Yassin (Tanzania) – 7 Milioni
  12. Fabrice Ngoma (DR Congo) – 7 Milioni
  13. Saido Ntibanzokiza (Burundi) – 6.2 Milioni
  14. Peter Banda (Malawi) – 6 Milioni
  15. Willy Onana (Cameroon) – 6 Milioni
  16. Denis Kibu (Tanzania) – 3.7 Milioni
  17. Kennedy Juma (Tanzania) – 3 Milioni
  18. Nasolo Kapama (Tanzania) – 2.5 Milioni
  19. Hamisi Kazi (Tanzania) – 2.2 Milioni
  20. Hussein Abel (Tanzania) – 2.1 Milioni
  21. Devid Kameta (Tanzania) – 2 Milioni
  22. Husein Abel (Tanzania) – 2 Milioni
  23. Israel Patrick Mwenda (Tanzania) – 2 Milioni
  24. Ally Salim Juma (Tanzania) – 1.8 Milioni
  25. Farouz (Tanzania) – 1 Milioni
  26. Jimson Stephen Mwanuke (Tanzania) – 1 Milioni
  27. Hussein Hasan (Tanzania) – Kiasi hakijajulikana
  28. Auyoub Lakrey (Morocco) – Kiasi hakijajulikana

Makadirio haya ya mishahara yanategemea taarifa zilizokua zikivuma kipindi cha usajili na taarifa zinazopatikana hadharani. Mishahara halisi ya wachezaji inaweza kuwa juu au chini ya makadirio haya. Kwa ujumla, Simba SC inafanya juhudi kubwa kuhakikisha kuwa ina wachezaji bora ambao wataweza kuleta mafanikio katika msimu huu.

Makala Nyingine: