Ratiba ya Ligi ya NBC Championship Tanzania 2024/2025, Leo tarehe 9 Septemba 2024, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania imeitangaza rasmi Ratiba ya Ligi ya NBC Championship, ligi ambayo inatarajiwa kuanza rasmi tarehe 20 Septemba 2024. Mashabiki wa soka kote nchini wanatarajia msimu mwingine wenye ushindani mkali kati ya timu zinazoshiriki ligi hii maarufu.
Ratiba ya Ligi ya NBC Championship
RATIBA-YA-NBC-CHAMPIONSHIP-2024-2025-1
Leave a Reply