Kuitwa Kwenye Usaili Halmashauri Ya Manispaa Ya Temeke Juni, 2025
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE 13-06-2025, Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke anawatangazia waombaji wa nafasi ya Dereva Daraja la II kuwa usaili utafanyika kuanzia tarehe 24 hadi 27 Juni 2025. Waombaji walioitwa wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI β HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE
Tarehe: 13 Juni 2025
Kumb. Na: TMC/MD/B.2/37/89
Maelekezo kwa Wasailiwa:
-
Fika kwa wakati, siku na mahali kama ilivyoelekezwa kwenye ratiba ya usaili.
-
Kuvaa barakoa (mask) ni lazima.
-
Kuja na kitambulisho halali (Uraia, Kazi, Mpiga Kura, Pasipoti).
-
Leta vyeti halisi: Cheti cha kuzaliwa, Kidato cha IV, Astashahada na Leseni ya Udereva.
-
Hati zifuatazo hazitakubalika: Testimonials, Provisional Results, Statement of Results, na slips za matokeo.
-
Gharama za chakula, usafiri na malazi ni kwa msailiwa mwenyewe.
-
Vyeti kutoka nje ya Tanzania viwe vimehakikiwa na TCU, NACTE au NECTA.
-
Wasailiwa wasioonekana kwenye tangazo hili hawakukidhi vigezo.
-
Dereva Daraja II wenye leseni Daraja C au E lazima waje na vyeti vya mafunzo ya udereva.
-
Ikiwa jina linatofautiana kwenye vyeti, leta Hati ya kiapo ya kubadilisha jina (Deed Poll).
-
Ingia kwenye akaunti yako ya ajira ili kunakili namba ya mtihani β haitatolewa siku ya usaili.
Ratiba ya Usaili β Dereva Daraja la II:
Aina ya Usaili | Tarehe | Saa | Mahali |
---|---|---|---|
Usaili wa Mchujo | 24-06-2025 | 07:00 Asubuhi | Ukumbi wa Idd Nyundo β Manispaa ya Temeke |
Usaili wa Vitendo | 26-06-2025 | 07:00 Asubuhi | Ukumbi wa Idd Nyundo β Manispaa ya Temeke |
Usaili wa Mahojiano | 27-06-2025 | 07:00 Asubuhi | Ukumbi wa Idd Nyundo β Manispaa ya Temeke |
Majina ya Wasailiwa (Mifano):
Orodha ina zaidi ya waombaji 190, baadhi yao ni:
-
ABDALAH HUSENI ADIMU β P.O Box 14, Songea, Ruvuma
-
ABDUBAKAR BIZIMANA TOMSON β P.O Box 40, Mvomero, Morogoro
-
ABIHUDY EZEKIEL KANYANYI β P.O Box 6013, Morogoro
-
ADAM ZUBERI KAMBI β P.O Box 20950, Ubungo, Dar es Salaam
-
CAROLINE PETER MARTINE β P.O Box 2052, Ubungo, Dar es Salaam
-
JOYCE REMENI MUSHI β P.O Box 166, Morogoro
-
ZABLON SANNE MICHAEL β P.O Box 12702, Dodoma
β¦na wengine wengi waliotajwa kwenye tangazo kamili.
Imetolewa na:
Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke
Ofisi ya Rais β TAMISEMI
TANGAZO LA USAILI TEMEKE MC.pdf
Makala Nyingine:
- Kuitwa Kwenye Usaili Halmashauri Ya Wilaya Ya Buhigwe Juni, 2025
- Kuitwa Kwenye Usaili Halmashauri Ya Wilaya Ya Malinyi Juni, 2025
- Kuitwa Kwenye Usaili Halmashauri Ya Manispaa Ya Songea Juni, 2025
- Kuitwa Kwenye Usaili Halmashauri Ya Manispaa Ya Musoma Juni, 2025
- Matokeo Ya Usaili Wa Kuandika Uliofanyika Tarehe 14/06/2025
Tags: Manispaa Ya Temeke