Tag: Vyuo vya ualimu ngazi ya cheti
Vyuo vya ualimu ngazi ya cheti

Ualimu ni taaluma ya msingi inayojenga misingi ya maendeleo ya mtu binafsi na taifa kwa ujumla. Katika juhudi za kuhakikisha upatikanaji wa elimu bora, Tanzania imeanzisha vyuo vingi vya ualimu vinavyotoa mafunzo kwa walimu katika ngazi mbalimbali, ikiwemo ngazi ya cheti (Grade A Certificate in Teaching). Ngazi hii ni muhimu sana kwa sababu ndiyo chimbuko […]