Tag: Kocha Mpya
Yanga Watangaza Kocha Mpya 2025 Miloud Hamdi

Klabu ya Yanga Watangaza Kocha Mpya 2025 Miloud Hamdi, Uongozi wa Klabu ya Young Africans SC umefikia makubaliano ya pande mbili kuvunja mkataba na Kocha Sead Ramovic na msaidizi wake Mustafa Kodro. Katika hatua nyingine, Klabu ya Young Africans SC inamtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi mwenye uraia wa Algeria na Ufaransa. Unaweza Kusoma: Ratiba ya […]