Ratiba ya Makundi Kombe la Shirikisho 2025/2026 CAF Confederation Cup, Mashindano ya Kombe la Shirikisho la CAF kwa msimu wa 2025/2026 yamekuwa na msisimko mkubwa huku timu bora barani Afrika zikisubiri kujua nani ataibuka mshindi.
Katika makala hii, tutachambua ratiba ya mechi za makundi mbalimbali huku tukiangazia timu zinazoshiriki na tarehe muhimu za mechi hizo.
Ratiba ya Makundi Kombe la Shirikisho
Semi-finals β 1st Leg
19.09 β 16:00 Welayta Dicha π Al-Ittihad
19.09 β 17:00 Aigle Royal π San Pedro
19.09 β 19:00 Nigelec π Olympique de Safi
19.09 β 20:00 USFA π Gbohloe-Su
20.09 β 17:00 Flambeau du Centre π Al Akhdar
Madani π Etoile Sahel
Young Africans π Royal Leopards
20.09 β 19:00 Maniema π Pamplemousses
EL Merriekh Bentiu π Azam
FC Libreville π ZESCO
Foresters FC π 15 de Agosto
Kabuscorp π Kaizer Chiefs
Simba π Djabal
20.09 β 20:00 Bhantal π Hafia
NEC FC π Nairobi United
Rayon Sport π Singida Black Stars
20.09 β 22:00 Stade Tunisien π SNIM
21.09 β 17:00 Dekedda π Zamala Ruwaba
Ferroviario Maputo π AS Fanalamanga
Mighty Wanderers π Jwaneng Galaxy
21.09 β 17:15 Port π KMKM
21.09 β 19:00 Abia Warriors π Djoliba
Asante Kotoko π Kwara
Primeiro de Agosto π Otoho dβOyo
21.09 β 20:00 Black Man Warrior π Coton FC
21.09 β 22:00 Generation F. π Academie de FAD
Semi-finals β 2nd Leg
26.09 β 17:00 AS Fanalamanga π Ferroviario Maputo
Royal Leopards π Young Africans
26.09 β 17:15 KMKM π Port
26.09 β 20:30 Hafia π Bhantal
26.09 β 21:00 Al-Ittihad π Welayta Dicha
Coton FC π Black Man Warrior
27.09 β 17:00 Kaizer Chiefs π Kabuscorp
Nairobi United π NEC FC
27.09 β 19:00 15 de Agosto π Foresters FC
Djabal π Simba
Etoile Sahel π Madani
Pamplemousses π Maniema
Zamala Ruwaba π Dekedda
27.09 β 20:00 Academie de FAD π Generation F.
San Pedro π Aigle Royal
Singida Black Stars π Rayon Sport
27.09 β 21:00 Jwaneng Galaxy π Mighty Wanderers
SNIM π Stade Tunisien
27.09 β 23:00 Olympique de Safi π Nigelec
28.09 β 16:00 Azam π EL Merriekh Bentiu
28.09 β 17:00 ZESCO π FC Libreville
28.09 β 18:30 Otoho dβOyo π Primeiro de Agosto
28.09 β 19:00 Gbohloe-Su π USFA
Kwara π Asante Kotoko
28.09 β 20:00 Al Akhdar π Flambeau du Centre
Djoliba π Abia Warriors
Zamalek SC ni timu yenye historia ndefu na mafanikio makubwa katika soka la Afrika. Enyimba FC, mabingwa wa zamani wa Ligi ya Mabingwa Afrika, nao wanatarajiwa kuwa wapinzani wakubwa katika kundi hili. A. Black Bulls, ingawa si maarufu sana, wana nafasi ya kusababisha mshangao.
Mashindano ya Kombe la Shirikisho la CAF 2024/2025 yanatarajiwa kuwa na mvuto mkubwa kutokana na ushiriki wa timu zenye hadhi na historia katika soka la Afrika.
Timu zote zinazoshiriki zitalenga kufikia hatua ya nusu fainali na hatimaye kunyakua kombe hilo. Kwa ratiba iliyopangwa, mashabiki wana uhakika wa kushuhudia mechi za kusisimua na za kiwango cha juu.
Makala Nyingine:









Tuachie Maoni Yako