Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kinakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi mbalimbali za kazi kama ifuatavyo:
1. NAFASI ZA KAZI
Nafasi za Msaidizi wa Mhadhiri (Tutorial Assistant)
- 
Quantity Surveying – Nafasi 1 
- 
Interior Design – Nafasi 2 
- 
Urban and Regional Planning – Nafasi 2 
- 
Geomatics – Nafasi 2 
- 
Architecture Technology – Nafasi 1 
- 
Agribusiness – Nafasi 1 
- 
Electrical Engineering – Nafasi 4 
- 
Civil Engineering – Nafasi 4 
- 
Mechanical Engineering – Nafasi 2 
- 
Statistics – Nafasi 1 
- 
Pharmacy – Nafasi 1 
- 
Medicine – Nafasi 1 
- 
Chemistry – Nafasi 1 
- 
Physics – Nafasi 2 
- 
Wildlife Management/Conservation – Nafasi 1 
- 
Medical Imaging & Radiotherapy – Nafasi 1 
- 
Optometry – Nafasi 1 
- 
Health Information Science – Nafasi 2 
- 
Software Engineering – Nafasi 1 
- 
Multimedia Technology – Nafasi 1 
- 
Computer Engineering – Nafasi 1 
- 
Cyber Security & Digital Forensics – Nafasi 1 
- 
Electronics & Automation Engineering – Nafasi 1 
- 
Telecommunication Engineering – Nafasi 1 
- 
Business Information Systems – Nafasi 1 
- 
Crop Science – Nafasi 1 
- 
Veterinary Medicine – Nafasi 2 
- 
Aquaculture – Nafasi 1 
- 
Animal Science – Nafasi 2 
- 
Procurement & Supply Chain Management – Nafasi 1 
- 
Law – Nafasi 2 
- 
Human Resources Management – Nafasi 1 
- 
Horticulture – Nafasi 1 
- 
Assistant Librarian Trainee – Nafasi 4 
Nafasi za Mhadhiri Msaidizi (Assistant Lecturer)
- 
Architecture – Nafasi 1 
- 
Quantity Surveying – Nafasi 1 
- 
Procurement & Supply Chain Management – Nafasi 1 
- 
Electrical Engineering – Nafasi 2 
- 
Civil Engineering – Nafasi 1 
- 
Geology – Nafasi 1 
- 
Data Science – Nafasi 1 
- 
Cyber Security & Digital Forensics – Nafasi 2 
- 
Information Systems – Nafasi 1 
- 
Marketing & Entrepreneurship – Nafasi 2 
- 
Law – Nafasi 1 
- 
Assistant Librarian – Nafasi 4 
2. SIFA ZA WAOMBAJI
- 
Shahada ya Kwanza kwa nafasi za “Tutorial Assistant” kwa GPA ya 3.8 au zaidi. 
- 
Shahada ya Uzamili (na ya kwanza) kwa nafasi za “Assistant Lecturer” kwa GPA ya 4.0 katika Uzamili na 3.8 kwa Shahada ya Kwanza. 
- 
Vyeti vyote viwe vimetolewa na taasisi zinazotambulika. 
- 
Wataalamu wa fani husika lazima wawe wamesajiliwa na bodi/taasisi za kitaaluma zinazohusika. 
3. MASHARTI YA JUMLA
- 
Waombaji wote wawe raia wa Tanzania wasiozidi umri wa miaka 45. 
- 
Waombaji wenye ulemavu wanahimizwa kuomba na kutaja aina ya ulemavu wao katika mfumo wa maombi. 
- 
Waombaji waliopo kwenye utumishi wa umma wapitishe barua zao kwa waajiri wao. 
- 
Waombaji waliostaafu utumishi wa umma hawaruhusiwi kuomba. 
- 
Vyeti vya elimu ya nje viwe vimehakikiwa na NECTA (kwa O-Level & A-Level), TCU na/au NACTVET kwa Shahada na Diploma. 
- 
Barua ya maombi iwe imeandikwa kwa Kiswahili au Kiingereza na isainiwe. 
- 
Maombi yote yawasilishwe kupitia mfumo wa Ajira (Recruitment Portal): 
 👉 http://portal.ajira.go.tz
4. MWISHO WA KUTUMA MAOMBI
Tarehe ya mwisho kutuma maombi ni 23 Juni 2025
Imetolewa na:
Makamu Mkuu wa Chuo
Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST)
S.L.P 131 – Mbeya
 
					






Tuachie Maoni Yako