Msimamo wa kundi e kufuzu kombe la dunia 2026, FIFA World Cup African qualifiers Mashindano ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 barani Afrika yanaendelea kushika kasi, na katika Kundi E, mashabiki wanashuhudia pambano kali kati ya mataifa yanayowania nafasi ya kufuzu.
Morocco inaongoza kwa kiwango cha juu, huku Tanzania ikijaribu kufuata nyayo na Zambia, Niger, Congo na Eritrea zikihangaika kupata nafasi.
Kundi E
Nafasi | Timu | Pointi (Pts) |
---|---|---|
1 | Morocco | 18 |
2 | Tanzania | 10 |
3 | Zambia | 6 |
4 | Niger | 6 |
5 | Congo | 1 |
6 | Eritrea | 0 |
Makala Nyingine:
- Kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika—Ni Wakati wa Kuweka Dau kwa Mechi za Maamuzi
- Kikosi cha Taifa Stars Kufuzu CHAN 2024 (Tanzania Vs Sudan)
- Msimamo wa Kundi la Tanzania (Taifa Stars) Kufuzu AFCON 2025
- Msimamo wa Kundi la Tanzania (Taifa Stars) Kufuzu AFCON 2025
- Msimamo wa Makundi CHAN 2025 Fixtures
- Msimamo wa EPL 2024/2025 Ligi kuu England
Tuachie Maoni Yako