Ajira Serikali

Mpangilio Wa Kanda Za Usaili Wa Mahojiano Usaili Wa Mei Hadi Juni, 2025

Mpangilio Wa Kanda Za Usaili Wa Mahojiano Usaili Wa Mei Hadi Juni, 2025, Wasailiwa wote waliopangwa kushiriki usaili wa mahojiano kwa kipindi cha Mei hadi Juni 2025 wanasisitizwa kuzingatia mpangilio wa vituo vya usaili kama ulivyoainishwa hapa chini.

Kila msailiwa anatakiwa kufika katika Kanda ya Usaili wa Mahojiano kulingana na eneo alilofanyia usaili wa mchujo.

MPANGILIO WA KANDA ZA USAILI WA MAHOJIANO

Na. Mahali/Mkoa wa Usaili wa Mchujo Kanda ya Usaili wa Mahojiano Kituo (Venue) cha Usaili wa Mahojiano
1 Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Tanga Arusha Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA)
2 Dar es Salaam, Lindi, Mtwara, Pwani Dar es Salaam Ofisi za Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni
3 Dodoma, Iringa, Morogoro, Singida Dodoma Ofisi za Sekretariati ya Ajira Katika Utumishi wa Umma – PSRS
4 Mbeya, Njombe, Ruvuma, Songwe, Rukwa Mbeya Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST)
5 Geita, Kagera, Simiyu, Shinyanga, Mara, Mwanza Mwanza Mwanza Alliance English Medium
6 Katavi, Kigoma, Tabora Tabora Shule ya Sekondari ya Wasichana – Tabora
7 Unguja Unguja Jengo la Katiba na Sheria – Mazizini
  • Wasailiwa wanaombwa kufika katika vituo vya usaili siku moja kabla ya siku ya mahojiano.
  • Wajitahidi kuwa na vitambulisho halali na nyaraka zote muhimu kama zilivyoelekezwa katika barua ya kuitwa kwenye usaili.
  • Kwa maelezo zaidi, tembelea tovuti rasmi ya Sekretariati ya Ajira: www.ajira.go.tz

MPANGILIO WA KANDA ZA USAILI WA MAHOJIANO MEI HADI JUNI 2025-1 PDF

Makala Nyingine:

Leave a Comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.