Ratiba Ya Makundi AFCON 2025, Mashindano ya AFCON 2025 yanatarajiwa kuanza rasmi tarehe 21 Desemba 2025 nchini Morocco, yakihusisha jumla ya timu 24 zitakazowania nafasi ya kutinga hatua ya mtoano.
Makundi yamepangwa kwa umahiri mkubwa ili kuleta ushindani wa juu, huku mataifa makubwa yakikutana mapema na kuifanya michuano hii kuwa ya kusisimua zaidi kushuhudiwa.
Mashabiki watarajie ratiba iliyojaa michezo mikali, muda sahihi wa kila mechi, na siku za kila pambano kulingana na taarifa rasmi za CAF.
AFCON 2025 – Ratiba ya Mechi Zote Hatua ya Makundi
Jumapili • 21 Desemba 2025
| Mechi | Saa |
|---|---|
| Morocco vs Comoros | 4:00 Usiku |
Jumatatu • 22 Desemba 2025
| Mechi | Saa |
|---|---|
| Mali vs Zambia | 11:00 Jioni |
| Afrika Kusini vs Angola | 2:00 Usiku |
| Misri vs Zimbabwe | 5:00 Usiku |
Jumanne • 23 Desemba 2025
| Mechi | Saa |
|---|---|
| Congo DR vs Benin | 9:30 Alasiri |
| Senegal vs Botswana | 12:00 Jioni |
| Nigeria vs Tanzania | 2:30 Usiku |
| Tunisia vs Uganda | 5:00 Usiku |
Jumatano • 24 Desemba 2025
| Mechi | Saa |
|---|---|
| Burkina Faso vs Equatorial Guinea | 9:30 Alasiri |
| Algeria vs Sudan | 12:00 Jioni |
| Ivory Coast vs Msumbiji | 2:30 Usiku |
| Cameroon vs Gabon | 5:00 Usiku |
Ijumaa • 26 Desemba 2025
| Mechi | Saa |
|---|---|
| Angola vs Zimbabwe | 9:30 Alasiri |
| Misri vs Afrika Kusini | 12:00 Jioni |
| Zambia vs Comoros | 2:30 Usiku |
| Morocco vs Mali | 5:00 Usiku |
Jumamosi • 27 Desemba 2025
| Mechi | Saa |
|---|---|
| Benin vs Botswana | 9:30 Alasiri |
| Senegal vs Congo DR | 12:00 Jioni |
| Uganda vs Tanzania | 2:30 Usiku |
| Nigeria vs Tunisia | 5:00 Usiku |
Jumapili • 28 Desemba 2025
| Mechi | Saa |
|---|---|
| Gabon vs Msumbiji | 9:30 Alasiri |
| Equatorial Guinea vs Sudan | 12:00 Jioni |
| Algeria vs Burkina Faso | 2:30 Usiku |
| Ivory Coast vs Cameroon | 5:00 Usiku |
Ratiba hii ya AFCON 2025 inaonyesha wazi namna hatua ya makundi itakavyokuwa na ushindani mkali, hasa kutokana na mikutano ya mapema kati ya mataifa makubwa kama Nigeria, Morocco, Algeria, Ivory Coast, na Senegal.
Mashabiki wa soka barani Afrika na duniani kwa ujumla watarajie mechi kali kuanzia siku ya ufunguzi hadi mwisho wa hatua ya makundi.
Makala Nyingine:









Tuachie Maoni Yako