ACT: Tutashiriki Uchaguzi Mkuu 2025

Chama cha ACT Wazalendo leo Unguja, Zanzibar kupitia Kiongozi wake Doroth Semu, kimetangaza rasmi kushiriki katika ngazi zote za uchaguzi mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika October mwaka 2025.

Makala Nyingine:

CCM Uchukuaji Wa Fomu za Ubunge Kuanza June 28

PM Majaliwa Akagua Barabara SOMANGA

INEC ifute tamko kuwa CHADEMA Haishiriki Uchaguzi